Maandamano yafanyika mjini Nyamira kumtetea Jaji Maraga
Published on: September 03, 2017 08:58 (EAT)
Makombora yanayoendelea kurushiwa majaji wa mahakama ya juu humu nchini hususan kutoka kambi ya Jubilee yanazidi kukosolewa na viongozi wa kisiasa na wananchi wa kada mbalimbali. Mamia ya wakazi wa Nyamira wamefanya maandamano kuonyesha uungaji mkono wao kwa Jaji Mkuu David Kenani Maraga pamoja na majaji wenzake wa mahakama ya kilele.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment