Mabalozi wa Ulaya wakabidhi IEBC mapendekezo ya marekebisho kwenye mifumo ya uchaguzi
Published on: September 14, 2017 09:02 (EAT)
Waangalizi wa uchaguzi kutoka Umoja wa Ulaya wametoa mapendekezo yao kwa tume ya uchaguzi nchini IEBC kabla ya uchaguzi kufanyika mwezi ujao. Mojawapo ya matwaka hayo ni kuboreshwa kwa mitambo ya kupeperusha matokeo pamoja na teknolojia kufanyiwa uchunguzi kabla ya uchaguzi huo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment