Madaktari bado hawajarejea kazini
Serikali inaahidi madaktari watakaorejea kazini kufikia siku ya Jumatatu nyongeza ya mishahara ya asilimia 40 na marupurupu yaliyokuwa yameafikiwa katika mazungumzo yaliyotibuka. Haya ni licha ya vitisho kwa madaktari kuwa watafutwa kazi na kadhalika matukio yanayokisiwa kuwa ya kuwashurutisha ambapo baadhi ya madaktari wanadai kupigiwa simu na maafisa wakuu wa polisi katika baadhi ya kaunti na kuagizw akurejea kazini mara moja. Na kama anavyotupasha faiza magannga, wagojwa wanazidi kuumia hali hii ya vuta nikuvute ikiendelea.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment