Madhara ya ukeketaji

Kuna nuru gizani kwa kina mama na wasichana waliokeketwa huku shirika moja likielimisha madaktari humu nchini kwa upasuaji wa aina yake utakaosaidia wasichana kurekebisha sehemu zao nyeti na kurejea kuwa ni kama ambazo hazijakeketwa. Na kama anavyoarifu mwanahabari saida swaleh tayari wanawake 50 wamefanyiwa upasuaji huo unaochukua dakika thelathini tu kukamilika.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories