Magavana wasema hawana pesa za kuendesha kaunti
Published on: October 03, 2017 08:06 (EAT)
Baraza la magavana sasa linaitaka serikali kuu kupitia wizara ya fedha kutuma pesa za mgao katika kaunti kwani shughuli zimelemazwa. Kupitia mwenyekiti wa barasa la magavana Josphat Nanok, kaunti hazijapokea pesa tangu mwezi Julai huku waziri wa fedha Henry Rotich akilaumu bunge la seneti kuchelewesha mswada wa kugawa fedha hizo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment