Magavana,Maseneta, Wabunge Wakongamana Kwale
Published on: November 16, 2014 07:17 (EAT)
Viongozi kutoka kaunti sita za pwani wamekubaliana kubuni jopo la pamoja litakaloangazia mahitaji ya kijamii, uchumi na siasa katika eneo hilo.haya yameafikiwa katika mkutano ulioandaliwa kaunti ya Kwale, huku suala la ushirikiano wa kisiasa likionekana kuwagawanya kwa maoni, baadhi yao wakieleza umuhimu wa wapwani kuunda chama cha kisiasa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment