Mahakama: Hukumu ya kifo si lazima kwa wauaji

Sasa haitakuwa lazima kutoa hukumu ya kumnyonga mshatikiwa aliyepatikana na hatia ila atapewa nafasi ya kuthibitisha kuwa hastahili kuhukumiwa kifo, hukumu hiyo hata hivyo ingalipo. Mahakama ya juu imeamua kuwa kifungu cha 204 cha sheria hiyo hakiambatani na katiba.

Tags:

life sentence death penalty

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories