Mahakama kesho kuamua uchaguzi utafanyika au la

Mahakama ya kilele hapo kesho itabaini iwapo uchaguzi mpya wa urais utaandaliwa siku ya Alhamisi kama ulivyoratibiwa na tume ya uchaguzi nchini-IEBC au la. Wapiga kura watatu wamewasilisha kesi, na kutaka uchaguzi huo uahirishwe, huku wakidai anga ya kisiasa nchini kwa sasa sio sawa kwa maandalizi ya mchuano huru na haki. Jaji mkuu david maraga na kikosi chake wataisikiliza kesi hiyo hapo kesho na kutoa mwelekeo.

Tags:

IEBC supreme court

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories