Mahakama ya juu yabatilisha ushindi wa Kenyatta

Mahakama ya Juu imebatilisha uchaguzi wa urais uliofanyika tarehe nane Agosti na kuitaka tume ya uchaguzi IEBC kuandaa kinyang’anyiro kipya kabla ya muda wa siku 60 zijazo kwisha. Kwa uamuzi wa majaji wengi, Mahakama hiyo imetaja kuwa shughuli hiyo ilikumbwa na hitilafu ambazo ziliharibu uadilifu wa uchaguzi huo. Mahakama hiyo sasa imekuwa ya kwanza barani Afrika kuwahi kubatilisha uchaguzi wa urais kama anavyoripoti Sam Gituku.

Tags:

supreme court david maraga PRESIDENTIAL PETITION

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories