Majaji 2 waamua uchaguzi ulikuwa wa haki
Published on: September 01, 2017 08:23 (EAT)
Uamuzi wa kubatilisha ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta katika mchuano wa ikulu haukuungwa mkono na majaji wote wa mahakama ya upeo nchini. Majaji Jackton Ojwang na Njoki Ndung’u walitoa uamuzi mbadala, na kusema kinara wa Nasa Raila Odinga hakutoa ushahidi wa kutosha, kuwashawishi kuwa uchaguzi wa urais ulikumbwa na dosari chungu nzima.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment