Majaji 7 wa mahakama ya juu kutoa uamuzi kesho

Jopo la majaji saba wa mahakama ya kilele nchini linatarajiwa kutoa uamuzi kuhusiana na kesi inayopinga matokeo ya ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta hapo kesho. kinara wa Nasa Raila Odinga jioni hii amehudhuria maombi saa chache kabla ya uamuzi huo kutolewa.

Tags:

supreme court david maraga PRESIDENTIAL PETITION

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories