Majaji 7 wa mahakama ya juu kutoa uamuzi kesho
Published on: August 31, 2017 09:20 (EAT)
Jopo la majaji saba wa mahakama ya kilele nchini linatarajiwa kutoa uamuzi kuhusiana na kesi inayopinga matokeo ya ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta hapo kesho. kinara wa Nasa Raila Odinga jioni hii amehudhuria maombi saa chache kabla ya uamuzi huo kutolewa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment