Majaji Isaac Lenaola na Philomena Mwilu watuhumiwa

Tume ya kuwaajiri majaji nchini imetakiwa kuwachunguza majaji wawili wa mahakama ya kilele kufuatia madai ya kuwa na uhusiano na mawakili waliomwakilisha kinara wa Nasa Raila Odinga wakati wa kusikizwa kwa kesi iliyopinga ushindi wa Kenyatta.

Tags:

Philomena Mwilu Isaac Lenaola

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories