Majaji ; marudio ya uchaguzi wa urais hayakuhitaji uteuzi upya
Published on: December 11, 2017 08:40 (EAT)
Majaji hao walisoma uamuzi wa kina hii leo ambao ulifutilia mbali kesi ya kupinga uchaguzi wa Uhuru Kenyatta kwenye marudio ya uchaguzi
Majaji hao wamesema kuwa kinara wa Nasa Raila Odinga hakujiondoa kwenye uchaguzi kulingana na sheria zilizopo
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment