Majambazi waiba kahawa ya Ksh 2 M Embu

Wakulima wa kahawa kutoka kaunti ya Embu wanakidira hasara kubwa baada ya majambazi kuvamia kiwanda chao cha Mwiria usiku wa kuamkia leo na kuiba kahawa yenye thamani ya shilingi milioni moja nukta tano.

Tags:

embu KPCU Coffee theft kahawa

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories