Majeruhi wengi wa ajali ya Migaa wanatibiwa hospitalini Nakuru
Published on: December 31, 2017 10:10 (EAT)
Familia za waliofariki katika ajali ya eneo la Migaa usiku wa kuamkia leo wanaomboleza vifo vya wapendwa wao. Mojawapo ya familia hizo imewapoteza watu wanne.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment