Makamishna wa IEBC wakutana kujadili mgogoro wao
Published on: September 08, 2017 08:10 (EAT)
Makamishna wa tume ya IEBC na maafisa wakuu wa tume hiyo wanatarajiwa kuandaa kongamano kuanzia Jumapili hii huko Naivasha kusuluhisha mizozo ambayo imekuwepo na kupanga ratiba ya uchaguzi wa urais ujao.
Hatua hii inawadia baada ya mkutano uliofanyika hii leo baina ya makamishna kufuatia mikinzano ya sera na hatua dhidi ya maafisa wa tume hiyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment