Makatibu wakuu 12 wahamishwa
Published on: March 31, 2017 08:08 (EAT)
Aliyekuwa katibu katika wizara ya afya Nicholas Muraguri amehamishiwa katika wizara ya ardhi. Muraguri ni miongoni mwa makatibu wengine 11 waliohamishwa kutoka wizara na idara walizokuwa wakihudumu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment