Makatibu wakuu 12 wahamishwa

Aliyekuwa katibu katika wizara ya afya Nicholas Muraguri amehamishiwa katika wizara ya ardhi. Muraguri ni miongoni mwa makatibu wengine 11 waliohamishwa kutoka wizara na idara walizokuwa wakihudumu.

Tags:

Irungu Nyakera Makatibu serikalini Nicholas Muraguri

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories