Makubaliano ya NASA
Published on: February 21, 2017 09:53 (EAT)
Muungano wa upinzani-nasa umeafikiana kuhusu mbinu na mikakati ya kumteua mgombea urais wake na mpangilio wa uongozi utakaotumika katika kinyang’anyiro cha mwezi agosti.
Duru zimeiarifu Citizen Nipashe kuwa nasa itamzindua mgombea urais wake tarehe nne mwezi ujao, atakayeafikiwa kwa njia ya muafaka.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment