Mama azaa watoto wanne huko Kisii
Published on: March 26, 2017 08:04 (EAT)
Furaha na majonzi baada ya mwanamke mmoja kujifungua watoto wanne katika hospitali ya rufaa ya Kisii. Haya yanajiri huku mwanamke mwingine akijifungua mtoto akiwa na uvimbi kichwani katika kaunti jirani ya Migori
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment