Marehemu Nkaissery azikwa nyumbani kwake Ilbisil, Kajiado
Published on: July 15, 2017 08:30 (EAT)
Maelfu ya waombolezaji hii leo walifika nyumbani kwa Marehemu Joseph Ole Nkaissery kumpa mkono wa buriani. Rais Uhuru Kenyatta na kinara wa upinzani Raila Odinga walikuwa miongoni mwa wageni waliofika kumuomboleza Nkaissery huku wakihubiri amani.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment