Maseneta kujadili mswada uliopitishwa bungeni
Published on: December 26, 2016 09:24 (EAT)
Mjadala kuhusu sheria mpya za uchaguzi ungali umeshika kasi huku bunge la seneti likiwa mwamuzi wa mwisho iwapo sheria hizo zitaifikia meza ya rais au la. Bunge la seneti linatarajiwa kuwa na kikao maalumu kujadili sheria hizo kesho kutwa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment