Masomo yatatizwa vyuo vikuu vya umma
Published on: July 04, 2017 09:10 (EAT)
Wahadhiri katika vyuo vikuu nchini wameendeleza mgomo wao kwa siku ya pili hii leo huku wakiandamana katika sehemu tofauti nchini kwenye juhudi zao za kudhihirisha ghadhabu yao. Na katika kaunti ya Kirinyaga, mgombea ugavana Martha Karua amelazimika kukatiza hotuba yake ili kumsaidia mama mjamzito aliyepata uchungu wa uzazi mkutanoni.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment