Mataifa ya Ulaya yasuta misimamo ya Nasa na Jubilee
Published on: October 07, 2017 08:24 (EAT)
Mataifa ya magharibi yakiwemo Marekani, Uingereza na Ujerumani yamevisuta vyama vya Jubilee na NASA kutokana na mtafaruku unaoendelea kuhusu maandalizi ya marudio ya uchaguzi wa urais ambayo sasa yanasalia na siku kumi na nane pekee. Katika taarifa zilizotumiwa vyombo vya habari, mataifa hayo yameutaka muungano wa NASA kusitisha matakwa yake dhidi ya IEBC wanayosema yanahujumu juhudi za tume hiyo kuandaa uchaguzi huku chama cha Jubilee kikisutwa kwa kubadilisha sheria za uchaguzi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment