Matiang’i atoa onyo kwa wanaojaribu kulemeza agizo la kuhamishwa kwa walimu
Published on: January 12, 2018 08:26 (EAT)
Kaimu waziri wa elimu Dkt. Fred Matiang’i leo hii ametoa onyo kali dhidi ya wale wanaotumia fujo kutatiza zoezi la uhamisho wa walimu wakuu. Matiang’i aidha aligusia mikakati ya kuwahusisha makamishna wa kaunti kuhakikisha sio tu usalama katika mashule bali pia katika kuhakikisha kuwa masharti haswa ya karo za shule yanazingatiwa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment