Matiang’i atoa onyo kwa wanaojaribu kulemeza agizo la kuhamishwa kwa walimu

Kaimu waziri wa elimu Dkt. Fred Matiang’i leo hii ametoa onyo kali dhidi ya wale wanaotumia fujo kutatiza zoezi la uhamisho wa walimu wakuu. Matiang’i aidha aligusia mikakati ya kuwahusisha makamishna wa kaunti kuhakikisha sio tu usalama katika mashule bali pia katika kuhakikisha kuwa masharti haswa ya karo za shule yanazingatiwa.

Tags:

Fred Matiang'i Headteachers transfer

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories