Matiangi azindua kampeni Peleka watoto shuleni
Published on: January 17, 2018 08:16 (EAT)
Serikali imeanzisha rasmi oparesheni maalum pwani itakayofahamika kama oparesheni peleka mwanafunzi shuleni iliyolenga wanafunzi waliokamilisha masomo ya darasa la nane na kushindwa kufululiza hadi kidato cha kwanzo. Kulingana na Matiang’i aliyekutana na viongozi na wadau wa elimu kutoka pwani, eneo ambalo limekuwa na idadi ndogo zaidi ya wanafunzi wanaojiunga na kidato cha kwanza mwaka huu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment