Mazishi ya kijana yazuiwa Murang’a
Published on: June 08, 2017 08:48 (EAT)
Kulizuka kizaazaa huko Gitaro katika kaunti ya Murang’a baada ya jamaa za mvulana mmoja wa umri wa miaka nane kufika nyumbani kwao na kuzuia kuzikwa kwake. Mtoto huyo ambaye hadi kufa kwake alikuwa mwanafunzi wa darasa la pili aliaga dunia hapo jana asubuhi katika kisa kilichoelezewa kuwa cha kutatanisha. Tupate taarifa hiyo na nyingine katika mkusanyiko wa taarifa zetu za kaunti.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment