Mgomo wa wahadhiri uliodumu kwa mwezi mzima wasitishwa
Published on: December 09, 2017 08:47 (EAT)
Viongozi wa muungano wa wahadhiri nchini umesitisha mgomo ambao umekua ukiendelea Kwa siku thelathini na nane sasa. Hii ni baada ya muungano huo pamoja na Baraza la vyuo vikuu vya umma kutia sahihi mkataba wa kurejea kazini.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment