Mgonjwa wa akili anayeshukiwa kumuua daktari afikishwa mahakamani
Published on: December 08, 2017 08:26 (EAT)
Mshukiwa wa mauaji ya aliyekuwa daktari katika zahanati ya Chiromo Lane Medical Center amefikishwa mahakamani mapema hii leo. Mshukiwa ambaye anamiliki bastola amewafanya watu wengi kuuliza swali ni vipi akaruhusiwa kumiliki bastola ilhali ni mgonjwa wa akili.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment