Mheshimiwa Mchawi? Adaiwa kutumia uchawi kuwashawishi watu
Published on: November 13, 2017 08:35 (EAT)
Mwakilishi wa wadi ya Olusimoru Kaunti Ya Narok amejipata mashakani baada ya mpinzani wake kumshtaki akidai kuwa alitumia uchawi kushinda kiti hicho. Kesi hiyo inaendelea kusikizwa katika mahakama ya Narok.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment