Mifugo washuka bei Maralal, Samburu
Published on: August 31, 2017 09:22 (EAT)
Wafugaji kutoka kaunti ya Samburu wanaitaka serikali ya kaunti pamoja na serikali kuu kuwaokoa kutoka kwenye hasara kubwa ya bei wanayokumbana nayo kwa sasa kwenye soko la mifugo wao.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment