Mikutano ya kampeni ya Jubilee huko Nyeri yaahirishwa
Published on: September 16, 2017 10:18 (EAT)
Kampeni za Jubilee zilizopangiwa kufanyika katika kaunti ya Nyeri, zikiongozwa naye Rais Uhuru Kenyatta pamoja na naibu wake William Ruto ziliahirishwa hii leo kwa sababu ambazo hazijabainika. Hata hivyo, mkewe rais Margaret Kenyatta amekuwa akizunguka kaunti za Transnzoia na Pokot Magharibi kumuombea mumewe kura.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment