Mikutano ya Nasa yatibuka Thika, Murang’a

Mikutano ya muungano wa NASA katika kaunti za Murang’a na Kiambu ilisambaratishwa baada ya wafuasi wanaodaiwa kuwa wa chama cha Jubilee kuzua rabsha katika mikutano hiyo. Maafisa wa polisi walilazimika kutumia vitoa machozi na kufyatua risasi angani kuwatawanya wafuasi hao.

Tags:

raila odinga NASA kiambu muranga kenol Thika

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories