Mikutano ya Nasa yatibuka Thika, Murang’a
Published on: July 13, 2017 09:11 (EAT)
Mikutano ya muungano wa NASA katika kaunti za Murang’a na Kiambu ilisambaratishwa baada ya wafuasi wanaodaiwa kuwa wa chama cha Jubilee kuzua rabsha katika mikutano hiyo. Maafisa wa polisi walilazimika kutumia vitoa machozi na kufyatua risasi angani kuwatawanya wafuasi hao.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment