Misa ya wafu yafanywa kwa wasichana walioangamia shuleni Moi Girls
Published on: September 14, 2017 08:51 (EAT)
Biwi la simanzi limetanda katika shule ya upili ya wasichana ya Moi hapa jijini kwenye ibada ya wafu iliyofanyika mchana wa leo. Ibada hiyo ilifanyika kuwakumbuka wanafunzi tisa waliopoteza maisha kwenye mkasa wa moto ulioteketeza bweni moja shuleni humo mapema mwezi huu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment