Mjomba wa watoto 3 waliopatikana wameuawa azuiliwa na polisi

Siku mbili baada ya miili ya watoto watatu wa familia moja kupatikana katika Mto Nzoia kaunti ya Uasin Gishu uchunguzi kuhusu mauaji hayo umeanzishwa rasmi huku mjomba yao akizuiliwa na polisi ili aweze kujibu mashtaka kwani inadaiwa kwamba yeye ndiye aliyeonekana na watoto hao kabla wakumbane na mauti yao.

Tags:

James Ratemo Kapsoya

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories