Mkaguzi wa fedha amtaja waziri Mailu
Published on: November 15, 2016 08:28 (EAT)
Aakata ya shilingi bilioni tano katika wizara ya afya sasa imegeuka ya kurushiana lawama baada ya mkaguzi wa hesabu katika wizara hiyo Bernard Muchere kumshtumu waziri cleopa mailu kwa kufichua ripoti.
Muchere ambaye alihojiwa na kamati ya seneti kuhusu afya amesema kuwa ripoti hiyo iliagizwa na mailu mwenyewe na hakuna yeyote mwingine aliyeipokea. aidha muchere amekanusha kuwa alichapisha ripoti hiyo bila kusubiri majibu ya maswali yake ili kuwaharibia jina maafisa wakuu katika wizara hiyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment