Mkono Wa Buriani

Profesa Ali Mazrui amezikwa katika makaburi ya familia ya Mazrui katika eneo la Old Town kaunti ya Mombasa mita chache kutoka makavazi   ya Fort Jesus. Viongozi ambao walihudhuria mazishi ya shujaa huyo wakiwemo gavana  na seneta wa kaunti ya Mombasa na kiongozi wa wengi bungeni Aden Duale, walimtaja  Mazrui kama msomi atakayekumbukwa na vizazi vingi vijavyo.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories