Mkutano wa Jubilee Malindi
Published on: March 26, 2017 08:29 (EAT)
Chama Jubilee kimewaonya wagombea wanaochochea fujo na ghasia katika zoezi la kuwachagua wanakamati wa bodi za uchaguzi za chama hicho kwenye kaunti tofauti kikisema kuwa wanasiasa hao watachukuliwa hatua ikiwemo kupigwa marufuku kushiriki kwenye kura za mchujo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment