Mlinzi wa Seneta Wetang’ula ashtakiwa
Published on: August 30, 2017 08:15 (EAT)
Simon Lonyia ambaye ni mlinzi wa seneta wa Bungoma Moses Wetangula ameshtakiwa kwa madai ya kuzua vurugu nje ya mahakama ya juu. Afisa huyo mwenye cheo cha konstebo alifikishwa leo katika mahakama ya Milimani na kukanusha madai hayo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment