Msafara wa Jubilee washambuliwa mjini Mwingi

Msafara wa Jubilee hapo jana haukupokelewa vyema na wakaazi wa Mwingi katika kaunti ya kitui. Hii ni baada ya magari waliokuwa wakisafiria kupigwa mawe na wafuasi wa mrengo wa upinzani.

Tags:

JUBILEE mwingi kitui David Musila

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories