Msafara wa Jubilee washambuliwa mjini Mwingi
Published on: September 13, 2017 08:10 (EAT)
Msafara wa Jubilee hapo jana haukupokelewa vyema na wakaazi wa Mwingi katika kaunti ya kitui. Hii ni baada ya magari waliokuwa wakisafiria kupigwa mawe na wafuasi wa mrengo wa upinzani.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment