Mshukiwa wa ulanguzi wa mihadarati atiwa nguvuni Mombasa
Published on: February 03, 2017 08:52 (EAT)
Mshukiwa mmoja wa ulanguzi wa dawa za kulevya amekamatwa na maafisa wa polisi mjini Mombasa akiwa na heroini yenye thamani ya shillingi millioni kumi. Kwingineko mwanamume aliyening’inia kwenye helikopta wakati wa ziara ya viongozi wa upinzani huko meru ameachiliwa kwa dhamana ya shillingi elfu ishirini.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment