Msichana aliyeangaziwa na citizen apata usaidizi

Serikali sasa inawataka wanafunzi nchini kuweza kujiandikisha na halmashauri ya kutoa mkopo kwa wanafunzi  kila mwaka.(HELB) hii ni kulingana na waziri wa elimu kwamba kila mwaka serrikali inatenga takriban billioni 10.3 ya fedha ili wanafunzi wa vyuo vikuu na zile za kifundi kuweza  kupata fedha hizo na kuendelea na masomo yao. hata hivyo sio wengi wanaojitokeza kutumia fedha hizo.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories