Msongamano mkubwa washuhudiwa katika barabara kuu ya Nairobi-Mombasa
Published on: November 11, 2017 08:21 (EAT)
Usafiri katika barabara kuu ya Nairobi kuelekea Mombasa ulikwama kwa takriban saa ishirini kufuatia msongamano mkubwa ulioshuhudiwa baada ya korongo iliyokuwa ikijaribu kuondoa lori lililokuwa limekwama kuanguka katika eneo la kibiashara la salama.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment