Mtihani wa KCPE wakamilika baada ya kufanyika kwa siku 3
Published on: November 02, 2017 08:17 (EAT)
Leo ikiwa siku ya mwisho ya mtihani wa kitaifa wa darasa la nane, katibu katika wizara ya elimu Belio Kipsang amesema kuwa zoezi la usahihishaji litaanza mara moja. Hii ni baada ya wizara ya elimu kununua mitambo mipya ya kusahihisha.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment