Mtoto Samantha Pendo yafanyiwa ibada ya wafu mjini Kisumu
Published on: August 25, 2017 08:54 (EAT)
Ibada ya wafu ya mtoto Samantha Pendo aliyefariki kutokana na majeraha mabaya aliyopata kichwani imefanyika leo mjini Kisumu. Pendo aligongwa na wanaodaiwa kuwa ni polisi waliokuwa wakizuia ghasia mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu wa tarehe nane Agosti kutangazwa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment