Mtoto Samantha Pendo yafanyiwa ibada ya wafu mjini Kisumu

Ibada ya wafu ya mtoto Samantha Pendo aliyefariki kutokana na majeraha mabaya aliyopata kichwani imefanyika leo mjini Kisumu. Pendo aligongwa na wanaodaiwa kuwa ni polisi waliokuwa wakizuia ghasia mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu wa tarehe nane Agosti kutangazwa.

Tags:

kisumu Samantha pendo

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories