Mtoto wa miezi 10 apatikana na sindano 14 mwilini
Published on: December 02, 2017 09:09 (EAT)
Mtazamaji katika kisa cha kustaajabisha mtoto wa miezi kumi anauguza majeraha katika hopsitali ya Thika ya level five baada ya kupatikana na sindano kumi na nne za kushona mwilini. Madaktari walifaullu kuondoa sindano kumi na tatu na kuiacha moja ambayo imedunga mfupa. Aidha hakuna yeyote anayetambua jinsi sindano hizo zilivoingia mwilini mwa mtoto huyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment