Mtu aliyefumaniwa akilala na maiti achomwa

Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Mwanamume mmoja wa umri wa makamo amepigwa na kuuawa na wenyeji wa kijiji cha Kiwanja Ndege kaunti ndogo ya Kuresoi kaskazini baada ya kufumaniwa akishiriki tendo la ngono na maiti ya bintiye mwenye umri wa miaka kumi na tano.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.