Mudavadi atilia shaka kuwa kuna vituo vingi visivyo na mtandao
Published on: August 06, 2017 08:19 (EAT)
Kinara mwenza wa Nasa Musalia Mudavadi amezungumzia kuhusu ukosefu wa mtandao katika baadhi ya vituo vya kupigia kura kama ilivyotangazwa na tume ya IEBC. Pia Mudavadi alitaka serikali kuweka ulinzi wa kutosha katika ukumbi wa Bomas ambapo ndio kituo kikuu cha kuhesabia kura. Mudavadi alikuwa anazungumza na waandishi wa habari leo jioni.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment