Mutahi Kahiga ataapishwa Jumatatu kuwa gavana wa nne wa Nyeri
Published on: November 10, 2017 08:30 (EAT)
Huku matayarisho ya mazishi ya gavana wa tatu wa Kaunti ya Nyeri Wahome Gakuru yakiendelea, gavana wa nne atakayechukua nafasi yake anatarajiwa kuapishwa Jumatatu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment