Muturi, Lusaka wachaguliwa maspika
Published on: August 31, 2017 10:06 (EAT)
Aliyekuwa gavana wa Bungoma Kenneth Lusaka na Justin Mituri wamechaguliwa kuwa maspika wa seneti na bunge la kitaifa mtawalia. Lusaka alimbwaga mgombea wa muungano wa Nasa Farah Maalim baada ya duru mbili za uchaguzi huku muturi akitwaa ushindi pia katika duru ya pili ya uchaguzi huo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment