Muungano wa NASA uliwasilisha kesi mahakamani jana

Kinara wa NASA Raila Odinga usiku wa jana aliwasilisha kesi katika mahakama ya juu zaidi nchini, kupinga uchaguzi wa Rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake kuhudumu kwa muhula wa pili. Odinga, katika ombi lake lenye zaidi ya kurasa 25,000 kwa majaji saba wa mahakama hiyo, anashinikiza matokeo ya mchuano wa urais yabatilishwe na uchaguzi mpya kuandaliwa. Francis Gachuri ana taarifa kamili kuhusu kesi ya NASA.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories